Details
Description
Kiwanja kizuri chenye HATI MILIKI (Title Deed) ya Wizara. Umbali wa kilomita 16 kutoka Ferry/Magogoni, Mita 600 kufika Beach na ni mita 200 tu kutoka Barabara ya Lami. Ukubwa sqm4,600 (ZAIDI YA EKA) Eneo linaitwa BAMBA BEACH, KIGAMBONI. Ndani kuna Banda lenye Umeme. Panaa kwa makazi au Shule,Zahanati, Ukumbi,Apartments,Yard nk. _____ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe Mnunuzi) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _____jfh/jz