Details
Description
Nyumba ya kisasa YAKUHAMIA. Ipo PUGU KWA-RAHISI, ILALA. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 600. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. ____ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona Tshs.50,000. (Unalipa wewe Mnunuzi) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ____tp Ni nyumba ya kisasa yeye vyumba 4 vya kulala (Masta 1) Sebule, Jiko, Dining room, Store na Choo cha Familia ndani. Ndani ya Geti safi na Parking ni kubwa. Maji safi yanatoka. Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.