Details
Description
Hii nyumba ni ya kumalizia ujenzi kwa vitu vidogovidogo tu. Huduma za Umeme na Maji zipo. Kiwanja kina ukubwa wa Mita za Mraba 500. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Eneo ni kubwa unaweza kujenga nyumba nyingine mbili na bado ukabaki na Parking. ___________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe Mnunuzi) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu. ___________tp Ina vyumba 3 vya kulala. Sebule, Jiko, Dining, Store na Choo cha Familia ndani.