Details
Description
Hii ni nyumba nzuri ya kisasa YAKUHAMIA. Ina jumla ya vyumba vitatu (3) vya kulala. Pia Sebule, Jiko,Dining-room na Choo cha Familia ndani. Kiwanja kina ukubwa wa SQM.900. Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara. Ndani ya Fensi na kuna MABANDA YA KUFUGIA KUKU. Eneo ni KIBAMBA MWISHO. Umbali wa kilomita 2 tu kutoka Barabara ya Morogoro. ___________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe Mnunuzi) ____________mp Ukihitaji kuikagua taarifa mapema tafadhali