Details
Description
Pagale zuri lililofikia hatua ya Linta(Mkanda wa juu) Lipo MADALE MIVUMONI. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400. Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizaza. MUNGU AKUPE NINI? Eneo ni jiranj sana na Barabara ya Lami. _____ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuina ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe Mnunuzi) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _____mpg Ujenzi wa kisasa na nyumba imepangiliwa vizuri. Vyumba 3 vyote vina Vyoo ndani, Sebule,Jiko na Choo cha Familia ndani.