Details
Description
Zilipo ni PUGU KONA, katika Kiwanja kimoja chenye ukubwa wa SQM 500 na ambacho UMILIKI wake ni MKATABA WA MAUZIANO. Zote kwa sasa zina Wapangaji. KODI inayokusanywa kutoka kwa nyumba hizi mbili jumla ni TSHS.350,000/Mwezi. _______ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe Mnunuzi) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _______tp Nyumba kubwa Ina jumla ya Vyumba vya kulala 4, Ndogo Ina 2. Kila moja ina Masta, Sebule, Choo na Jiko.