22.04.2024Dar es Salaam

NYUMBA MBILI PAMOJA, PUGU KONA

TZS 50 000 000

Details

Terms
Monthly in advance
Price per square unit
No
Square units
500 m2

Description

Zilipo ni PUGU KONA, katika Kiwanja kimoja chenye ukubwa wa SQM 500 na ambacho UMILIKI wake ni MKATABA WA MAUZIANO. Zote kwa sasa zina Wapangaji. KODI inayokusanywa kutoka kwa nyumba hizi mbili jumla ni TSHS.350,000/Mwezi. _______ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe Mnunuzi) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _______tp Nyumba kubwa Ina jumla ya Vyumba vya kulala 4, Ndogo Ina 2. Kila moja ina Masta, Sebule, Choo na Jiko.

Dalalitz G.

Member since 2024.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam