Details
Description
Ni nyumba ya kumalizia ambayo imejengwa kisasa. Kiwanja kina ukubwa wa Mita za Mraba 400. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. _____________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe Mnunuzi) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _____________mpg Vyumba 3(Masta1) Sebule, Jiko, Dining-room na Choo cha Familia ndani. Ukihitaji kuikagua taarifa mapema tafadhali