13.06.2022Tanzania, Dar Es Salaam

HOUSE FOR SALE DAR ES SALAAM TZ

TZS 18 000 000

Description

Nyumba inauzwa ipo bunju kiharaka Ukubwa wakiwanja 20 kwa 20 Bei milioni 18 Uduma zote zakijamii zina patikana kama maji naumeme n,k Kutoka lami ni kilometer 2t Uduma ya kuona nyumba elfu 20 Nyumba ina vyumba 3 Kimoja ni master Pablik Sebre Dining Jiko Nyumba bado kupaua tu Ukipenda kitu usisit kupiga sim ili ujibiwe kwa alaka said

Zuberi S.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam