Details
Description
Nyumba ni nzuri na saafi YAKUHAMIA. Vyumba 2, Sebule kubwa na Jiko dogo. Ndani ya Fensi lakini GARI HAIINGII NDANI. Umbali wa kilomita 3 kutoka Barabara ya MBEZI/GOBA. Unashukia KWA AWADHI. Bodaboda ni Tshs.1,000-1,500 na DakIka 10 tu upo nyumbani. Umeme unajitegemea na Maji ya Dawasco yapo. ___________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni Kodi ya Mwezi mmoja. Kuiona ni Tshs.20,000. (Unalipa wewe Mpangaji) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ___________klng/Mjr