Details
Description
INAUZWQ NA BANK KWA RIDHAA YA MMILIKI. Hii ni Hotel ya kisasa yenye jumla ya vyumba vya kulala 42, ambavyo vyote vina Vyoo ndani. Pia Hotel hii Ina Ukumbi unaotumika kama Night Club/ Bar, Kaunta na Office ya Wafanyakazi. Kiwanja kina ukubwa wa Mita za Mraba 450. Umiliki ni HATI (Title Deed ya Wizara. _____________ ANGALIZO:. Malipo ya Dalali ni 10% Kuina ni Tshs.50,000. (Unalioa wewe Mnunuzi Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu hapo juu. _____________mpg